WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR ASISITIZA KUTUMIA MFUMO MPYA WA TEKNOLOJIA ILI KUWEZA KUHIFADHI VIZURI KUMBUKUMBU ZA DAWA ZANZIBAR
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akitoa hotuba katika mkutano wa kusaidia kazi zinazohusiana na Dawa na Vifaa Tiba kwa Serikali ya Zanzibar na Global Helth Supply Chain hafla iliofanyika ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazi mmoja Zanzibar. Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohammed amesema kuwa huduma za dawa zinazonunuliwa na Serikali pamoja zinazotolewa […]