WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WOCKHARDT HOSPITAL

Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui afanya mazungumzo   na ujumbe kutoka Hospital ya Wockhardt ya Nchini India yenye lengo   la kuimarisha sekta ya Afya Zanzibar ,huko Ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Zanzibar. Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Mhe. Nassor Ahmed  Mazrui amesema madaktari bingwa […]

ZFDA IMETEKETEZA MCHELE TANI 27

Baadhi ya Mchele aina ya Al-faiz uliyoingia maji ya bahari wakati wa kusafirishwa,  Kontena moja Tani 27, mali ya Kampuni ya Al-faiz General Store, Ukimwaga kwa ajili ya kuteketezwa na Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA)  , huko Jaa Kuu la Kibele Mkoa wa Kusini Unguja. Jumla ya Tani 27 za Mchele zimeteketezwa […]

WIZARA YA AFYA YAPOKEA MSAADA KUTOKA WHO

Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui(kushoto) akipokea msaada wa dawa na  vifaa Tiba  vyenye thamani  ya  bilioni 1.3 za Kitanzania kutoka Shirika la Afya duniani (WHO) hafla iliyofanyika Bohari kuu ya dawa Maruhubi Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepokea msaada wa Madawa na Vifaa Tiba vyenye thamani […]

UFUNGUZI WA KITUO CHA AFYA KIDIMNI, WILAYA YA KATI UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na   Balozi wa Korea Nchini  Bw.Kim Sun Pyo (katikati)  wakata utepe kufungua Kituo cha Afya cha Kidimni Wilaya ya kati Unguja leo, Kilichojengwa  na Serikali kwa kushirikiana na Washirika wa Maendeleo  ya NOAH   Delvelopment Association/ Taasisi ya Good People    kutoka Nchini Korea,(wa pili kulia) Mke wa Rais wa […]

Loading