MAADHIMISHO YA SIKU YA UNAWAJI MIKONO DUNIANI.
Waziri wa Afya , Ustawi wa Jamii,Wazee Jinsia na Watoto Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, akisisitiza juu ya umuhimu ya unawaji Mikono, katika hafla ya Maadhimisho ya siku ya Unawaji Mikono Duniani, huko Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul- Wakil Kikwajuni Mjini Zanzibar. Waziri wa Afya,Ustawi wa Jamii,Wazee,Jinsia na Watoto Mhe Nassor Ahmed Mazrui amewataka wananchi kunawa mikono ipasavyo ili kujikinga na […]