WIZARA YA AFYA YAPOKEA VIFAA TIBA KUTOKA CHINA
Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Dk.Abdulla Sleiman Ali, akipokea boksi la Vifaa tiba, vitakavyotumika kwa ajili ya upasuaji wa Ngiri katika Hospitali ya kivunge Unguja na Chakechake kwa upande wa Pemba vifaa hivyo ni msaada kutoka Serikali ya watu wa China Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia , na Watoto, imepokea msaada wa […]