MAZRUI AFANYA ZIARA KUANGALIA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI ZA WILAYA

Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kitogani katika ziara yake ilionzia mkoa wa Kusini Unguja na kumalizia Mkoa wa Mjini Magharibi. Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui ameiomba Wizara ya Fedha kuwalipa […]

UTIAJI WA SAINI WA UJENZI WA HOSPITALI KUMI ZA WILAYA UNGUJA NA PEMBA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya ,Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia, na Watoto Fatma Mrisho akisaini mkataba wa makubaliano ya ujenzi wa hospital ya Wilaya ambayo itajengwa Makunduchi  na Mkandarasi Ali Nassor wa kampuni ya ujenzi ya Quality building, hafla iliyofanyika  Wizara ya Afya Mnazi mmoja Mjini Unguja Katibu Mkuu Wazara wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na […]

WAZIRI UCHUMI WA BULUU AFUNGUA KONGAMANO SIKU 16 ZA HARAKATI ZA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI NA UDHALILISHAJI

Waziri wa Uchumi wa Buluu Abdalla Hussein Kombo akifungua kongamano la Vijana la kuadhimisha siku 16 za harakati za kupinga Ukatili na udhalilishaji wa kijinsia katika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul-wakil Kikwajuni mjini Zanzibar. Waziri wa Uchumi wa Bluu na Uvuvi Abdalla Hussein Kombo, ameitaka jamii kushirikiana kwa pamoja katika kuondosha vitendo vya udhalilishaji nchini, […]

WAZIRI WA AFYA ASAINI MSAADA KUTOKA IOM

Waziri wa Afya, Ustawi wa Jami,i Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui (katikati) akisaini  hati ya makabidhiano ya msaada wa vifaa  mbalimbali  kwa ajili ya matumizi katika nyumba salama, wapili kutoka kushota ni Mwakilishi Mkaazi  kutoka Shirika la  Umoja wa Mataifa la Uhamiaji  IOM Nchini Tanzania Dk.  Qassim Sufi nae akisaini hati hiyo, makabidhiano hayo yalifanyika […]

Loading