MAZRUI AFANYA ZIARA KUANGALIA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI ZA WILAYA
Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kitogani katika ziara yake ilionzia mkoa wa Kusini Unguja na kumalizia Mkoa wa Mjini Magharibi. Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui ameiomba Wizara ya Fedha kuwalipa […]