NAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Naibu Waziri wa Afya Harous Said Suleiman akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Uzinduzi wa Zoezi la Utoaji wa Matone ya Vitamin A na Dawa za Minyoo kwa Watoto litakaloanza tarehe 5/12/2019 katika vituo vyote vya Afya Unguja na Pemba hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara hio Mnazi mmoja Zanzibar. Wizara ya Afya Zanzibar […]

Loading