WAFANYAKAZI WA BOHARI KUU YA DAWA ZANZIBAR WAPATIWA MAFUNZO YA LUGHA YA ALAMA.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Asha Ali Abdulla akitoa hotuba ya uzinduzi  wa Mafunzo ya Lugha ya alama kwa wafanyakazi wa Bohari kuu ya dawa  katika Ukumbi wa Bohari kuu ya Dawa Maruhubi Zanzibar Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Asha Ali Abdalla amempongeza  Mkurugenzi Bohari kuu ya Dawa Zahran Ali Hamad kwa kutekeleza […]

Loading