MAFUNZO KWA WAFAMASIA

Mfamasia Mkuu wa Serikali  Habibu Ali Sharifu  amewataka wafamasia kuwa  waaminifu katika utendeji  wa kazi zao ili kutekeleza maadili ya kazi  kufanya hivyo kutaisaidia azma ya Serikali kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure . Hayo ameyasema huko katika ukumbi wa Shekhe Idrisa Abdulwakili,kikwajuni wakati wa mafunzo  kwa wafamasia wa  Zanzibar amesema si mwema wafamasia kukosa uwadilifu […]

Loading