SHIRIKA LA AFYA DUNIANI(WHO)WATAENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA KUFANIKISHA HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR

Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na wawakilishi  kutoka  Shirika la Afya Duniani (WHO)  wakati walipofika ofisini kwake Mnazimmoja Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema litaendelea kutoa ushirikiano kwa Serikali ya Mapinduzi ya  Zanzibar katika kufanikisha huduma za afya nchini . Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi mkaazi  wa Shirika la Afya Duniani (WHO) […]

NAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AZINDUA JUMUIYA YA KUKUZA NA KUENDELEZA AFYA YA KINYWA NA MENO (ZOHEDO)

Naibu Waziri Wizara ya Afya  Mhe.Hassan Khamis Hafidh akizungumza na wataalamu wa Afya ya  kinywa na meno wakati akizindua rasmi  Jumuiya ya kukuza na kuendeleza Afya ya kinywa na meno Zanzibar Oral Health Development Organization (ZOHEDO) huko Ukumbi wa ZSSF Kariakooo Mjini Unguja. Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe, Hassan Khamis Hafidh ameitaka Jumuiya ya […]

TUTAKABILIANA NA CHANGAMOTO KUJENGA ZANZIBAR NJEMA YENYE AFYA – MHE. OTHMAN

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman amesema kuwa Serikali haitosita kuchukua kila juhudi kwa kadiri itakavyowezekana, ili kuhakikisha ufumbuzi wa kero mbali mbali zinazoikabili Sekta ya Afya Nchini unapatikana. Mheshimiwa Othman ameyasema hayo leo Wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo Maalum ya Uvimbe wa Ubongo na Saratani (Neuro–Oncology Brain Hemisphere Anatomy […]

MAFUNZO YA SIKU TATU KWA WATAALAM WA AFYA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR KUHUSU UGONJWA WA KISUKARI YAFUNGULIWA ZANZIBAR

Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Hassan Khamis akifungua mafunzo ya siku tatu kuhusu matatizo ya miguu yanayotokana na ugonjwa wa kisukari (diabetic foot) kwa wahudumu wa afya wakiwemo madaktari wa upasuaji (Surgeons), watengeneza viatu (orthotic) na wauguzi kutoka hospitali mbalimbali za Rufaa, Kanda, Mikoa na Wilaya Tanzania bara na Zanzibar huko katika ukumbi wa Hotel ya […]

Loading