WAZIRI WA AFYA HAMAD RASHID MOHAMED AZUNGUMZA NA WAANDISHI ZANZIBAR.

Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na  Maadhimisho ya Siku ya Homa ya Ini Duniani ambayo itafikia kilele chake tarehe 28 Julay 2019 hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazi mmoja Zanzibar  Serikali kupitia Wizara ya Afya Zanzibar imeahidi kushirikiana na sekta mbalimbali za ndani na nje […]

ZANZIBAR YAPATIWA MSAADA WA MASHINE 17 ZA KUSAFISHIA FIGO

Kaimu Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Ahmad Saleh Ghamdi akimkabidhi Waziri wa Afya Hamad Rashid Muhamed mashine za kusafishia Figo katika sherehe zilizofanyika Bohari Kuu ya Dawa Maruhubi nje kidogo ya Mji wa Zanzibar Serikali ya Saudi Arabia imetoa msaada wa mashine 17 za kusafishia Figo (Dialysis Machines) kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar […]

KITENGO CHA MARADHI YASIYOPEWA KIPAUMBELE KUMALIZA MARADHI YA KICHOCHO NA MATENDE IFIKAPO MWAKA 2030 ZANZIBAR

Kaimu Meneja Kitengo cha Maradhi yasiyopewa kipaumbele Salum Mohd Aboubakar akitoa taarifa ya maradhi Kichocho, Matende na Minyoo katika mkutano wa tathmini uliofanyika Kitengo Shirikishi cha Mama na Mtoto Kidongochekundu Zanzibar. Wizara ya Afya Zanzibar kupitia Kitengo cha Maradhi yasiyopewa Kipaumbele (NTD) imepanga kumaliza tatizo la Maradhi ya Kichocho na Matende ifikapo mwaka 2030 iwapo […]

MAFUNZO YA MADAKTARI WA WATOTO WACHANGA KUTOKA AFRIKA MASHARIKI NA KATI YAFANYIKA ZANZIBAR

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dk. Fadhil Mohd Abdalla akifungua Mafunzo ya siku tano ya madaktari wa watoto wachanga kutoka nchi za Afrika Mashariki na Kati katika Hoteli ya Golden Tulip Malindi Mjini Zanzibar. Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dk. Fadhil Mohd Abdalla amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kuweka […]

MAADHIMISHO YA SIKU YA USIKIVU DUNIANI YAADHIMISHWA ZANZIBAR

Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Afya Zanzibar, Harusi Said Suleiman akiwahutubia wananchi walioshiriki maadhimisho ya siku ya Usikivu Duniani katika Viwanja vya Mapinduzi Michezani Mjini Unguja Jamii nchini imetakiwa kwenda hosptali mapema kutafuta matibabu ya Maskio pale tu wanapoanza kuhisi tatizo badala ya kusubiri hali ya afya kuwa mbaya. Kufanya hivyo kutasaidia kwa kiasi kikubwa […]

Loading